Mhe. Prof. JOYCE Ndalichako akihututubia katika Mkutano Mkuu wa Shirika la Kazi Duniani tarehe 7 Juni 2022

Mhe. Prof. JOYCE Ndalichako akihututubia katika Mkutano Mkuu wa Shirika la Kazi Duniani tarehe 7 Juni 2022, ambapo ametoa salamu za Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan na kueleza juhudi zinazofanywa na Rais wa…

Read More

Mhe. BaloziTarishi akutana na Rais wa Baraza la Haki za Binadamu

Tarehe 28 Aprili 2022, Mhe. Maimuna Tarishi, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu Geneva alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Baraza la Haki za Binadamu, Balozi Federico Villegas (Mwakilishi wa Kudumu wa…

Read More

Mhe. Balozi Tarishi akutana na Mshiriki wa Mkutano wa WTO kutoka Tanzania

Leo tarehe 12 Aprili 2022, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu Geneva, Mhe. Maimuna Tarishi amekutana na kufanya mazungumzo na Bw. Victor Mutasi (kulia kwa Mhe. Balozi), Mtanzania ambaye yupo Geneva kushiriki…

Read More

Tanzania yahudhuria Mkutano wa Baraza la Haki za Binadamu

1. Tanzania yahudhuria Mkutano wa Baraza la Haki za Binadamu, ambapo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanyiwa tathmini ya Haki za Binadamu. 2. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene (Mb.)…

Read More